Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

RONALDINHO AMPIGIA DEBE GUARDIOLA.



Guardiola will succeed anywhere, says Ronaldinho 

Mchezaji wa wa zamani wa klabu ya Barcelona Ronaldinho amesema kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola anauwezo wa kufundisha sehemu yoyote ya Duniani.


Klabu ya Bayern ilitangaza mapema wiki hii kuachana na Guardiola ndani ya klabu yake mwishoni wa msimu huu wa Bundesliga nchini Ujerumanai huku klabu kama zaManchester City,United na Chelsea zote zikihitaji saini yake katiia msimu ujao.

Baada ya kupata makombe mawili ya Copa del Rey na makombe mawili ya ligi nchini Hispani alipokuwa na klabu yake ya Barcelona, Guardiola alihamia katikaligi ya Ujerumani ya Bundesliga katika mitaa ya Allianz Arena.

Ronaldinho ambaye alikuwa mwimba alipokuwa na klabu yake ya Barca anaimani kocha Guardiola's bado anauwezo wa kufanya vizuri katika ligi yoyote Duniani.

“Pep ni kocha mzuri ambaye anaweza akaiongoza timu yoyote duniani”,Alisema Ronaldinho.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget