Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MZAHA MZAHA MARA SAMATTA YULE UBELGIJI.



 

Nyota ya shambuliaji wa Timu Ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta imeanza kung’aa wakati huu wa mwaka unapoishia marikiti.


Kunatetesi kuwa Mshambuliaji huyo wa Mazembe huweznda mwakani asiwepo nchini Kongo na baadala yake akapaa majuu baada ya klabu ya klabu ya KRC GENK inayoshiriki ligi Kuu soka ya chini Ubelgiji kutaka huduma ya mchezaji huyo katika kipindi cha usajili wa January mwakani.

Samatta ambaye amekuwa na rekodi nzuri ndani ya klabu yake ya TPMazembe huwenda January mwakani akatimiza ndoto zake za kutaka kucheza soka lake nje ya bara la Afrika.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget