Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

AZAM FC YAITAKA TFF KUIPA LESENI YA USHIRIKI KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO.



 
Klabu ya soka ya Azam Fc imelitaka Shirikisho la soka chini kuhakikisha wanaipa klabu hiyo leseni ya ushiriki wao katika michuano ya kombe la Shirikisho inayotarajia kufanyika mwakani.

Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Saad Kawemba amesema wao kama Azam wameshakamilisha maandalizi yote ya michuano hiyo lakini kinacho wakwamisha hadi hivi sasa ni kupata leseni ya ushiriki wao katika michuano hiyo ambayo hawajapata hadi hivi sasa.

Kawemba amesema wanatarajiwa kupeleka wachezaji 28 ambao tayari kocha wao ameshaorodhesha na wanimani ya kufanya vyema katika michuano hiyo kutokana na kiwango chao cha hivi sasa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget