Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ARSENAL WAPO TAYARI KUMUUZA OZIL.



Image result for ozil
Klabu ya soka ya Arsenal inadaiwa kuwa tayari kusikiliza ofa kwa kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Mesut Ozil kama asipokubali kusaini mkataba mpya.

Mkataba wa sasa wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 unamalizika kiangazi mwaka 2018, lakini meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anaweza kumuuza kabla kama asipoongeza mkataba wake.

Wote wawili Alexis Sanchez na Ozil mikataba yao inamalizika sawa na wamekuwa wakihusishwa na tetesi za kuondoka Emirates.

Hata hivyo, Wenger anadaiwa kutotaka mkataba wa Ozil uishe na anaweza kuamua kumuuza huku Chelsea, Manchester City na Juventus zikidaiwa kumtaka.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget