Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

CHELSEA WAENDELA KUJIKITA KILELENI MWA LIGI WAITANDIKA MAN CITY MABAO 3-1.



Manchester City 1-3 Chelsea: Costa & co. strike to spare Cahill blushes 
Diego Costa, Willian na Eden Hazard wameiwezesha klabu ya soka ya Chelsea kutoka na ushindi wa mabao 3-1 katika ligi kuu soka nchini Uingereza mbele ya klabu ya Manchester City katika mchezo uliomalizika hivi punde.

Gary Cahill's mwenye miaka 30alianza kuipatia goli la kwanza klabu yake iliyochini ya Pep Guardiola's baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa mchezaji mwenzake Jesus Navas's.

Kipindi cha pili klabu ya Chelsea ilianza kutaka kubadirisha matokea baada ya mchezaji Costa kuipatia klabu yake bao safi baada ya kupokea pasi kutoka kwa Cesc Fabregas.

The Blues hawakuishia hapo waliendelea kulisakama lango la wapinzani wao kanla ya Willian kuutumbukiza mpira kimiani na kuiandikia klabu yake bao kla pili huku Hazard akimalizia bao la Tatu na kuifanya klabu hiyo kuendelea kudanda kileleni.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget