Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KUMBE RONALDO NA MOURHNO WASADIKIKA KUKWEPA KULIPA KODI BANA.



Top of Form
Bottom of Form

Image result for ronaldo vs mourinho 
Inaripotiwa kuwa mcheza mpira wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, na wachezaji wengine wa kandanda, wamekwepa kodi ya mapato yao ya mamilioni ya dola, kwa kupitisha fedha hizo kwenye njia za kuzighushi hadi nchi za n'gambo kusikotozwa kodi.

Habari hizo zimechapishwa na gazeti moja la Ujerumani, Der Spiegel, na inasemekana zinatokana na data ya maelezo pamoja na kandarasi, makubaliano ya siri na barua pepe.

Mawakili wa Ronaldo wanasema, wakuu wa kodi wa Uspania wamekagua mapato yake na hawakuona kasoro yoyote.

Watu wengine maarufu wanaosemekana kutajwa katika ufichuzi huo, ni pamoja na Jose Mourinho, meneja wa Manchester United ambaye yeye na Ronaldo, anawakilishwa na wakala Jorge Mendes.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget