Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HALI YA CHIDIEBELE INAENDELEA KUTENGAMAA MBIONI KUREJEA DIMBANI.



Image result for SALUM CHIDIEBERE STAND UNITED 

Hali ya mchezaji wa klabu ya soka ya Stand United Abdislim Chidiebele inaendelea kutengemaa hivi sasa baada ya kutolewa kifaa maalumu katika mdomo wake baada ya kuvunjika Taya.

Afisa habari wa klabu ya soka ya Stand united Deo Makomba amesema kuwa mchezaji huyo anaendelea vyema hivi sasa na yupo mbioni kuungana na wachezaji wenzake wa kikosi cha kwanza.

Mbali na hilo makomba pia amezungumzia ratiba ya klabu ya Stand United kwa sasa na kueleza kuwa wanatarajia kuwa na michezo ya kirafiki kabla ya duru la pili la ligi kuanza.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget