Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

JE YANGA KESHO ITASAFISHA NYOTA KWA JKU KABLA YA MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU BARA?



Image result for YANGA 

Klabu ya soka ya YANGA SC kesho inashuka dimbani kumenyana na JKU ya Zanzibar katika dimba la Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki, ambao utakuwa wa kwanza tangu mabadiliko ya benchi la Ufundi mwezi uliopita.

Novemba Yanga imeleta Maofisa wapya wawili wa benchi la Ufundi, Kocha Mkuu George Lwandamina na Msaidizi, Noel Mwandila wote Wazambia.

Siku hiyo mashabiki wa Yanga watapata fursa ya kumuona kwa mara ya kwanza kiungo Mzambia, Justine Zulu aliyesajiliwa mapema mwezi huu. 

Meneja wa Yanga Hafidhi Salehe amewataja mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi kuwashuhudia wachezaji wa klabu hiyo wakifanya yao katika dimba

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget