Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLABU YA TOTO AFRIKA YAKANA KUFANYA MAZUNGUMZO NA ALIEKUWA MKURUGENZI WA STAND UNITED MUHIBU KANU.



Image result for klabu ya toto africa 

Klabu ya soka ya TOTO AFRIKA ya jijini Mwanza kufanya mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi wa ufundi wa klabu ya Stand United Muhubu Kanu kuwa kocha wao mpya klabuni hapo na kueleza bayana kuendelea na makocha walionao kwa sasa.

Afisa habari wa klabu hiyo Kasbeti Japhet amesema kuwa hawajafanya mazungumzo yoyote na na Kanu na kueleza kuwa kwa sasa wanamipango na kuendelea na walimu walionao klabuni hapo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget