Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HANS POPPE KUANZA MIPANGO YA UJENZI WA UWANJA WA SIMBA.



http://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/pop.jpg 

Uongozi wa klabu ya soka ya Simba umebainisha mipango yake ya kuanza ujenzi wa uwanja wao uliopo maeneo ya Bunju mapema mwezi January mwakani ili uweze kutumika na wachezaji wa klabu hiyo.


Akizungumza na waandishi wa habari Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara amesema kwa sasa wapo katika hatua nzuri ya kuhakikisha January mwakani uwanja huo unaanza kujengwa ili uweze kutumia na wachezaji wa klabu hiyo ambapo kwa hivi sasa wanatumia fedha nyingi kwajili ya kukodi uwanja.

Manara amesema kwa sasa klabu hiyo imeanza hatua kadhaa za kuhakikisha kufikia mwakani wanaanza ujenzi huo hivyo kwa sasa Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu hiyo Zacharia Hans poppe ameanza kushughulika ujenzi huo ambao unatarajiwa kuleta mapinduzi ya kisoka kwa upande wao.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget