Halloween Costume ideas 2015
2015-12-27

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.



 
Baada ya Klabu ya KMC inayoshiriki Ligi daraja la kwanza kuindika barua kwenda Bodi ya Ligi nchini kupigwa kuchezeshwa kwa mchezaji wa aliyekuwa akikipiga Friends Ranger katika mchezo wao walipocheza dhidi ya klabu ya African Lyion Shirikisho la soka nchini Tanzania lakanusha taarifa hizo.



http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0857.jpg 

Siku moja baada ya klabua ya soka ya Yanga kuachana na mchezaji wo machachari anaecheza katika nafasi ya Kiungo Haruna Nionzima unongizo wa klabu ya soka ya Simba umekanusha taarifa za kumuhitaji mchezaji huyo ndani ya klabu hiyo.


Kama ulikosa kucheki mapicha ya Arsenal wakihangaika kupanda kileleni waliposhinda usiku wa jana mabao 2-0 dhidi ya Bournemouth haya hapa tumekuwekea hapa.


                              wchezaji wa Arsenal wakishambilia langoni.




                    Mesut Ozil akifunga bao kati ya mawili ya Arsenal.


                    winga wa Theo Wallcot Arsenal akiwania mpira na mchezaji mwenzake.

 

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget